Monday 23 October 2017

JINSI YA KUTENGENEZA FOLDER LISILOWEZA KUFUTIKA.



Hii kutokana nawatu wengi kuniuliza swala hili
Watu wengi wamekuwa wakipata shida sana pale wanapohifadhi kitu kwenye folder na kukuta watu wamelifuta moja kwa moja either kwa bahati mbaya au kwa makusudi Mkiwa Darasan,chuo au nyumbani. Kama wewe ni mmoja wapo unakumbana na tatizo kam hili Don worry am here to show yu hw yu can solve dis problem. fata maelekezo yangu kwa umakini njia hii aiijataji software ya aina yoyote.
HATUA ZA KUFUATA.
1:Bonyeza button ya window na R kwenye kompyuta yako.(Faster faster).
2::Andika cmd kwenye kibox kitakachotokea.(Baada ya step 1 utakiona).
3:Utaona kipage cheusi chenye maandishi meupe.(Hicho ndio tunakiita cmd yaani command prompt).
4:Andika drive amayo unataka hilo folder likae kwa mfano ni local disk E utaliandika kama hivi E: Then press Enter.(Usije ukaliweka kwenye local disk C).
5:Atua inayofata andika hizi code kama zilivyo na upige Enter
md con\
hapo utakuwa umetengeneza FOLDER ambalo mtu hataweza kulifuta hata afanye nini. (Utalikuta limeandikwa con
Kwenye local disk utakayokuwa umeachagua.
Somo litakalo fata namna utakavyoweza kusoma SMS za Fiance wako bila kulog in kwenye Acc yake.
No automatic alt text available.
LITAKALO MGUSA NDIO MLENGWA. Usisahau kuuliza patakapo kushinda Pia unaweza kulike,kucomment na kushares unisaidie kutoa huduma kwa watu.THINKING IS MY HOBBYJINSI YA KUTENGENEZA FOLDER LISILOWEZA KUFUTIKA.
Hii kutokana nawatu wengi kuniuliza swala hili inbox
Watu wengi wamekuwa wakipata shida sana pale wanapohifadhi kitu kwenye folder na kukuta watu wamelifuta moja kwa moja either kwa bahati mbaya au kwa makusudi Mkiwa Darasan,chuo au nyumbani. Kama wewe ni mmoja wapo unakumbana na tatizo kam hili Don worry am here to show yu hw yu can solve dis problem. fata maelekezo yangu kwa umakini njia hii aiijataji software ya aina yoyote.
HATUA ZA KUFUATA.
1:Bonyeza button ya window na R kwenye kompyuta yako.(Faster faster).
2::Andika cmd kwenye kibox kitakachotokea.(Baada ya step 1 utakiona).
3:Utaona kipage cheusi chenye maandishi meupe.(Hicho ndio tunakiita cmd yaani command prompt).
4:Andika drive amayo unataka hilo folder likae kwa mfano ni local disk E utaliandika kama hivi E: Then press Enter.(Usije ukaliweka kwenye local disk C).
5:Atua inayofata andika hizi code kama zilivyo na upige Enter
md con\
hapo utakuwa umetengeneza FOLDER ambalo mtu hataweza kulifuta hata afanye nini. (Utalikuta limeandikwa con
Kwenye local disk utakayokuwa umeachagua.
Somo litakalo fata namna utakavyoweza kusoma SMS za Fiance wako bila kulog in kwenye Acc yake.
For my proposal... Do it if yu are experiencing with this problem.
#Apendae maarifa upenda kujifunza
#Waibina_programmer
#by__IT_technician
#ananiaybina@gmail.com
#.Niwatakie matokeo mema all ma Hommyz.
LITAKALO MGUSA NDIO MLENGWA. Usisahau kuuliza patakapo kushinda Pia unaweza kulike,kucomment na kushares unisaidie kutoa huduma kwa watu.THINKING IS MY HOBBY

No comments:

Post a Comment